TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 01

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01 ONYO??? Stori hii ina Maudhui ya Kimapenz** na ya buza kwa Mpalange' **** Mwanadada au mwanamama Yunisi kulipokucha mapema asubuhi alikuwa bado amelala kitandani licha ya mumewe kuamka kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini, mwanamke huyo kama kawaida yake yeye ni kulala mpaka ahakikishe ameumaliza usingizi wote ndipo aamke, haijalishi iwe saa mbili asubuhi, saa nne au hata saa sita, mumewe Benson alimaliza kuvaa suti yake ya kazini na kumsogelea mkewe kitandani ambae ndiyo kwanza alikuwa anajigeuza kitandani akiendelea kuuchapa usingizi "Naenda kazini, tutaonana baadae" "Sawa kazi njema" mkewe alimjibu huku akijinyoosha kitandani, mumewe

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...