
RUNGU LA KIPOFU 13. ENDELEA........ Huku Mwajuma akiwa dukani aliitwa na Dani aliyekuwa boy wake, alisogea akiwa na nyo..do kama zote tena akimwangalia kwa dharau kabisa. "Bora nimekuona Mwajuma nisamehe basi kpenz turudi kama zamani!" "Aya nimekusamehe unakingine!" "Kingine nimemiss ile michezo yako!" "Ipi hiyo!?" "Acha utoto basi inamaana hu..jui!?" "Ndio sujui labda uniambie wewe!' "Nimekumbuka kukunana bhana, twende getho!" "Sitaki!" "Acha basi Mwajuma!" Mwajuma alifyonza na kujiondokea, yaani ahangaike na Dani wakati Kipofu yupo tena anaru..ngu linalomkuna vizuri wewe umeona wapi?, Dani alibaki akimwita lakini hakutaka kurudi kumsikiliza kabisa.Alifika kwao na kumkuta Kipofu au Juma amesharudi toka hospital. Masaa
No comments:
Post a Comment