
RUNGU LA KIPOFU 12. ENDELEA....... Mwajuma alimchukua na kuondoka naye na Kipofu alilishika ru....ngu lake lilokuwa limelala fofofoooo rungu halikuwa na hamu ya kuchalaza baada ya kutoka kufanya kazi nzito. Waliingia ndani na kuwakuta mama zao wakipiga story. "Hatimae umempata mwenzako!" "Ndio Mama mkubwa tena ngoja akaniambie yule ni nani yake!" "Hahahaha hutaki kuona kaka yako anaoa!?" "Nataka nimbane mpaka aseme mwenyewe!" Waliingia zao chumbani na Mwajuma akafunga mlango, Latifa yeye alikuwa akiwala chabo tu. Chumbn Mwajuma alianza kuita..ka ila Kipofu aligoma kabisa. "Kwanini hutaki!?" "Sipo sawa tu kwa leo!" "Au umetoka kukoboana na lile lianamke!?" Mwajuma alihoji na Kipofu
No comments:
Post a Comment