
RUNGU LA KIPOFU 01?? ENDELEA..... "Wewe Latifa mfate Juma chumbani kwake" "Aya Mama!" Latifa au ukipenda mwite binti wa kazi aliondoka kwa ajili ya kwenda kumfata Juma chumbani. alifika mlangoni na kugonga na Juma alimruhusu azame ndani. Binti wa watu aliingia na kumkuta Juma amekaa kitandani akiwa na fimbo yake anayotumia kutembelea kwakuwa ni kipofu. "Mama kasema nije nikuchukue!" "Sawa Latifa twende!" Juma alinyenyuka kitandani na Latifa alikamata fimbo yake kwa ajili ya kumuongoza ila macho yalimtoka baada ya kuona rungu la Juma likiwa nje nje au ukipenda iite bakora. "Mmmmh Juma lipo nje!" "Linini!?" "Lidu..du funga zi..pu vizuri ya
No comments:
Post a Comment