
************* @Kila Mtu *SEHEMU YA KWANZA* Ikiwa ni siku ya juma mosi siku ambayo nilipaswa kuhudhulia harusi ya mdogo wa rafiki yangu, siku hii nilikuwa na huzuni sana. Kwanzia asubuhi hadi inafika saa nane sikuwa nimeshuka kitandani ,zaidi nilijilaza huku nikizama kwenye ulimwengu wa mawazo. Macho yangu yalivimba kwa kulia huku mafua na sauti za kwi kwi ya kilio ndio zikisikika chumbani humo, dakika zilisogea ikafika saa tisa kasoro mara simu yangu ikaita. Iliita kalibia mara tatu bila kupokelewa mwisho nikanyosha mkono na kuangalia anaepiga nikaona ni Rafiki yangu, kinyonge nilipokea na kuongea. "Hello " "Elena uko wapi wewe mbona
No comments:
Post a Comment