
PENZI LA MHALIFU 33. ILIPOISHIA.... Nilishindwa kuelewa anaenda wapi na zilipita kama dekika kadhaa bira Cyborg kurudi hivyo na mimi nilinyenyuka kitandani na kutoka kwenye chumba chetu. Duuh!!! huwezi amini kwa kile nilichokiona kwani Cyborg alikuwa....... ENDELEA........ Duuh!!! huwezi amini kwa kile nilichokiona kwani Cyborg alikuwa kasimama kwenye mlango wa kwenye chumba alichokuwa amelala mdogo wangu Anna pamoja na mfanyakazi wetu wa ndani huku mkono wake akiwa kauingiza kwenye boxer yake nahisi alikuwa anataka kujichua. "Mme wangu unafanyeje hapo!?" nilimuuliza na alishituka baada ya kuniona. "Malaika acha kupiga kelele njoo usikilize" aliniambia kwa sauti ya chini na mimi niliamua kusogea
No comments:
Post a Comment