PENZI LA MHALIFU 27

PENZI LA MHALIFU 27

PENZI LA MHALIFU 27 TULIPOISHIA..... Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg. TUENDELEE...... Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti. Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza. Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia. Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...