
PENZI LA MHALIFU 12 Jamani nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa kipindi hicho na yote yalisababishwa na mkuu wangu wa kazi, kuna mda nilikuwa nikijilaumu kwa jinsi mungu alivyoniumba maana ndiyo sababu ya yote hayo kutokea. Nilijiuliza mbona wenye K wapo wengi tu kwanini boss atake ya kwangu peke yangu na asitafute K zingine?. Kiukweli wapenzi wasikilizaji nilichukia kuwa na umbo na sura ya kuwavutia wanaume. Nikiwa kwenye mawazo mda huo huo mkuu wetu alikuwa akiingia kituoni na alipita sehemu niliyokuwa nimesimama na kuniangalia pasipo kuzungumza chochote ata nilipompatia salama hakuipokea kabisa. Sikutaka kuhangaika nae bali niliamua kwenda kwenye ofisi yangu
No comments:
Post a Comment