NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 03

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       Sehemu ya 03

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 03 Nilisoma harakaharaka hapo ndipo nilipochanga nyikiwa nikajikuta na tetemeka mikono, Kwanza sikuamini kama mke wangu angeweza kufanya vile , nikajiuliza mbona ni muda mfupi tu , yaani tokea nimwambie NIMEFUKUZWA kazi ni wiki ya 3 tu , leo nakuta meseg chafu mesegi inayoniliza , mke wangu kafanya mapenzi ,yaani kanisaliti ,unajua sikuamini , ile mesegi ilipita kwenye kichwa changu kama muvi ya kutisha , ASANTE BEBY KWA PENZI TAMUU !???? Hyo mesegi ilijirudia rudia kichwani , nilijikuta nalia aisee ,! Msomaji nakwambia kweli mapenzi yanauma ,nilipandwa na hasira

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...