NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI, KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI,     KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI, KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3, sehemu ya , , 1____2 Dunia imebeba mengi sana achana na majumba na magari pamoja na miti na watu wake , kuna vingi vimebebwa ndani ya mioyo ya watu , kuna Siri nzito zimejificha ndani ya moyo wa mwanadamu , Nasema hivyo kwa kuwa yamenikuta mwenzenu , nilipojaribu kuupima uvumilivu wa mke wangu kipindi cha shida , sikujua kuwa binaafamu anapande mbili , na kila upande haufanani hata kidogo, Nilioa miaka mi4 iliyopita tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume , mimi namke wangu tuliishi kwa kupendana sana na nikampa mtaji wa

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...