
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 10 Tuliangaliana na afande akanipiga busu la shavuni kisha akaniambia lete hiyo simu niipokee, Nikamwambia hapana ngoja iite mpaka ikate, nilianza kuhisi vitu fulani kama vya upendo hivi kwa afande ,maana ni kama alikuwa anafurahi zaidi vile tunavyomkomesha mke wangu , na yale mabusu daah , japo nilikuwa najihisi Raha kupigwa busu lakini kwa upande mwingine nilikuwa naona kama nazidi kujiweka mbali na mke wangu , Sim iliita ikakata mke wangu akapiga tena ikaita mpaka ikakata alipiga kama mala sita lakini sikupokea mpaka akaacha kupiga ,afande akasema hapo lazima
No comments:
Post a Comment