NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 09

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3      SEHEMU YA   09

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 09 Aliongea vile huku akileta mdomo wake ugusane na mdomo wangu sasa mke wangu akatukuta tukiwa kwenye hali ile,, Mke wangu akastuka akasimama huku anatutazama , alionekana anawasiwasi maana nilimuona ametoa macho, Sasa yule afande nae akajifanya kama hajamuona maana tuligusanisha midomo tu huku tumekumbatiana lakini gafra tu akatoa ulimi wake na kuutumbukiza mdomoni kwangu , nikajitahidi kutaka kuutoa maana niliona kama mke wangu anapandwa na hasira, sasa wakati nahangaika kujitoa ndivyo yule afande alivyozidi kuuingiza ulimi wake sasa nikajikuta namimi namkumbatia , mke wangu hakuvumilia akaja mbio na

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...