NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,

NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,

????NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22, Endeleanayo..... * Dayana alitoa macho kama mjusi kabanwa na Mlango, Aliinuka kwa hasira na kwenda chumbani kwa Frenk huku anahema utadhani anakimbuzwa.. ******* ******* " "" "" Weeeeeehhhhh Frenk, Mpuuuuzzziiiiiiii weweeeeee... Weeee frenk weweeeee.. Aliongea Dayana kwa ukali huku anapiga hatua kunifuata kitandani nilipokuwa nimejilaza.. * * ***** Nilibaki nimeduwaa nisielewe anamaanisha nini yule binti.. Niliinuka na kukaa kitandani huku naendelea kumtazama... Alinifikia na kunizaba kofi zito shavuni huku ananitolea macho kwa hasira hadi machozi yanamtoka.... "" "" kuna nini dayana mbona mimi sikuelewi jamani. Niliongea kwa sauti ya upole nikiwa naamini lazima

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...