
?NASEMA KWA MAMA Endeleanayo..... * * "" "" "kwani laini yako ulie mpigia nae ulisajili kwa jina gani.????? Aliuliza Dayana...... " "" "Nilisajili kwa jina la Marehemu babu yangu mzaa mama nikiwa kijijini huko tanga... Kwahiyo hata polisi wakitafuta jina litaonekana ni mtu wa Tanga tena Marehemu... Alijibu Razac... * * " "" Nakuaminia mpenzi wangu hakuna sehemu umewahi kuniangusha hata moja tangu naanza kukufahamu.. Hata kazi ya ndoa unaiweza sana Razac wangu.. Haha haha hahah.. "" " Aliongea Dayana na kucheka kwa sauti sana huku anaendelea kuchezea nywele za kifuani kwa mpenzi wake.. Razac alikuwa kama kaongezea mafuta baada
No comments:
Post a Comment