
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10" Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi.. Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza.. Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????. Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ???????? Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ??????????? Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ???????????? Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika?????????? Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika
No comments:
Post a Comment