
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04" David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ???? Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ???????? David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ???????? Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ???????? Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika???????? Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho???? Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka
No comments:
Post a Comment