
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER Whatsap………....0613083801/0748697173 Umri………………..18+ ENDELEA......... Shemeji Nasib baada ya kuona nimetulia na sileti ubishi wowote ule aliongea. "Unaweza kunigeukia ili nikusugue kwa mbele!?" "Mmmmh huoni aibu shemeji!?" "Wala! sina aibu yoyote ile mbele yako, wewe ni mke wa kaka Rashidi hivyo yeye ni mimi na mimi ni yeye" Nasib aliongea, ilibidi nigeuke kama alivyokuwa akitaka, na mwenyewe mpaka leo sijui ni kwanini nilikuwa mwepesi mbele ya shemeji Nasib yani karibu kila kitu alichokuwa akiniambia basi nilikuwa nakubali kiwepesi tu, sijui ni kwa sababu ya mimba niliyokuwa nayo!! au ni kipi kilichokuwa kikinifanya niwe vile mbele ya
No comments:
Post a Comment