
????MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 18 ???? Alifanya ivi...???? Aliipuliza simu kwa mdomo wake kule zai akawa anasikia upepo tu. " Zai anasema. MPENZI MPENZI MPENZI. " Simu ikakatwa na akamtumia sms pale pale. ( Achana na mume wa mtu) " Boss alishangaa na akamuuliza. " Mbona unamtumia sms ivyo. " Nishakupenda mazima nataka dogo aachie ngazi atoe wazo la kuwa na wewe. ( Upande wa zai analia anatafakari sms) " My ata kama zai namuacha lakini si ivi ghafra nitamuumiza. ( Sasa boss mkojo umemshika akaenda chooni kukojoa hapo mama mdogo wa zai akaandika sms kwa zai kupitia
No comments:
Post a Comment