
STORY; KUMBE MAMA NA YEYE NI MTAMU????????.???? Sehemu ya kwanza Na Layman Donsue... Kuna maisha unaweza kupitia, kila unapoyakumbuka unajikuta hutamani kabisa yajirudie, na wakati mwingine unajiuliza kama kweli wewe ndie uliyafanya... Unapofahamu ulifanya wewe mwenyewe unaishia kucheka sana na kujiona ulikuwa mjinga sana.. Jina langu mimi ninaitwa Mudd, ingawaje mtaani hupenda kuniita Don, basi na wewe nifahamu kama Don. Mwenzenu jogoo hapandi mtungi kabisa, naishia kutamani tuu mautamu ya mke wangu hata sielewi sababu nini. Kuna watu wanasema ukitumia dawa flani unakuwa na nguvu mpaka mkeo au mpenzi wako anaufurahia micharazo yako. Ila upande wangu nimetumia madawa mengi sana
No comments:
Post a Comment