DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

DO YOU LOVE ME..... S2 (16) AM I WRONG? "Kuna nini...?" Nilimuuliza Rely ambaye alikuwa na hasira sio poa. Akanitazama usoni, macho yetu yalipokutana nilihisi utfauti katika macho yake. Kulikuwa na majimaji ambayo yalianza kudondoka. Ni machozi, nahisi Rely alikuwa na maumivu ambayo yalikuwa yakimuandama ndani ya mwili wake. Kulikuwa na kitu kinachomuumiza. Tukajikuta tunatizamana kwa zaidi ya dakika mbili, akaniuliza. "Unachokifanya unadhani ni kizuri?” “Sijaona ubaya” nilimjibu kwa dharau, kilio cha kwikwi kikazaliwa. Rely alianza kulia akisema “Inamaana unamhangaikia Rola si ndio? Hukumbuki kama alikufukuza kwake? Hakutaka tena mazoea na wewe? Hukumbuki?" “Yote tisa, hakuna kitu kitatafuta upendo wangu

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...