
DO YOU LOVE ME 14 (S2) LAWYER'S GAME Baada ya Hussein kutoka alielekea kwenye gari yake akaingia na kuchukua sim yake kisha akachezea kidogo na kuweka sikioni baada ya sekunde chache ilipokelewa na mazungumzo yakaendelea. "Upo wapi?" "Nipo ofisini kwangu, kuna shida?" Sauti upande wa pili ilisikika. "Nakuja sasa hivi." Aliongea Hussein na kukata sim kisha aliwasha gari na kuondoka. Huku ndani walibaki Rola na Thelesia ambao ni kwamba kila mmoja alikua na mambo yake. Rola alikua bize na simu yake huku Thelesia akiwa bize kuandaa chakula. Dakika moja ilimtosha Thelesia kutoka kule jikoni na kumfata Rola pale seblen. "Mmh
No comments:
Post a Comment