SHANGA TISA. EP: 4

SHANGA TISA.  EP: 4

SHANGA TISA. EP: 4 MTUNZI: ASHROUPH K.A {TAYLOR PERRY WA TZ} Chumba walicho kichukua kilikuwa ni self contained! Hivyo waliingia bafuni na kujisafisha miilii yao! Pengo akamuhimiza sana Bahati aende haja kubwa kabla ya tendo, then kujisafisha vizuri. "Bwanaee! mimi sisikii haja! "Hata kama husikii, wewe jikakamue tu!" "Pengo, ndo mambo gani hayo?" "Nisikilize bahati, fanya kama ninavyo kuelekeza, maana utanielewa tutakapo rejea chumbani" Bahati alijaribu kufanya hivyo, Ila hakuna kitu kilicho toka. Matokeo yake akajisafisha na kumalizia vizuri kuoga. Akachukua mtandio wake wa dera na kujifunga kiunoni! "Ila, sijui kwanini haupendi kunisikiliza Bahati". "Sasa kama sisikii haja nifanyeje? Mwenyewe

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...