
SHANGA TISA EP: 13 MTUNZI: ASHROUPH K.A {TAYLOR PERRY WA TZ} BAADA ya kimya kirefu kutawala, Chausiku alikuja kutoa neno lililopelekea watu wote mle ndani kuchangamka upya na kubaki mdomo wazi! "Jamaniee, mimi nishawahi kukutana na bakora yenye Pete, na nikafanikiwa kuipokea yote ukeni mwangu!". "Wewe!? Ulifanyaje fanyaje? Mana huwa nasikiaga tu watu wanasema hiyo kitu sio poa, na ukicheza unageuzwa kizazi sasa hivi!" "Hiyo ni misemo tu ya wanawake waoga, uke huu ni kama utumbo, ni ngumu sana kuufokonyoa wote mpaka ufike mwisho!". Ilibidi Chausiku ageuke na kuwa mshauri mkuu kwa siku hiyo, nyakanga mkuu akapisha kiti ili Chausiku
No comments:
Post a Comment