
RUNGU LA KIPOFU 21. ENDELEA........... Na kushuka kitandani na kuvaa nguo zake na baada ya kumaliza akatoka chumbani na kumfata tena mama yake "Mama!" "Nini Mwajuma!" "Siwezi kuvumilia nataka kumuona Kaka Juma!" "Unamatatizo gani mwanangu mbona unakuwa mgumu kuelewa au huyo kaka yako kakupa nini!?" "Nataka tu kumuona!" "Aaaaah unaelekea kunikera sasa, nimesema utaenda kesho au jumamosi full stop Mwajuma!" Mama Mwajuma alishikilia msimamo wake mpaka Mwajuma mwenyewe akashindwa cha kufanya. Huku kwa Queen na Tedy bado walikuwa na kesi nzito ya mwanaume aliyefia kwenye chumba chao baada ya kuzagamuana kwa mda mrefu na Queen, ni siku tatu zilipita wakiwa
No comments:
Post a Comment