
RUNGU LA KIPOFU 08 ?? ENDELEA....... "Hiyo ni swimming pool sio chumba cha gue...st, alafu wewe mbona kama bado mwanafunzi!?" "Nani mwanafunzi au unanilipia ada wewe!?" Mwajuma aliwaka baada kukatishwa sta..rehe yao. "Unanijibu hivyo mimi wote tokeni humo kwenye maji. "Na mnarudisha pesa zetu labda sio mimi Mwajuma" Walitoka ndani ya maji na Mwajuma aliwaganda tena akitaka kuanzisha vuluga ili tu warudishiwe pesa zao lakini waligoma na kuwapatia chu...mba kwa ajili ya kuwafidishia, Mwajuma na Kipofu walipelekana mpaka chumbani na baada ya kufikishana mambo yalianza. Taratibu Mwajuma alianza kulizoea rungu la Kipofu na alibananishwa vizuri kwenye pembe ya ktand na
No comments:
Post a Comment