
Patrick Mutesa Mafisango '" alikuwa mchezaji wa soka wa kimataifa wa Rwanda ambaye alichezea klabu kadhaa za Afrika Mashariki, ikiwa ni pamoja na Simba Sports Club ya Tanzania. Alizaliwa tarhe 9 Machi 1980, Kinshasa, Zaire (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo). Mafisango alizaliwa nchini Kongo lakini baadaye alihamia Rwanda, ambapo alipata uraia na kucheza kwa timu ya taifa ya Rwanda(Amavubi) Mafisango alikuwa kiungo wa kati (midfielder) aliyeheshimika kwa ustadi wake wa kiufundi na uwezo wa kuongoza timu. Alianza maisha yake ya soka katika klabu za Afrika Mashariki: TP Mazembe (Kongo): Alianza kazi yake ya soka katika klabu hii maarufu ya
No comments:
Post a Comment