NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

????SEHEMU YA TANO 05* NASEMA KWA MAMA ***** ***** "" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana.. Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika.... " "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani. " "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake... Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena.. Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...