NAKUPENDA Sehemu ya : 1 By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa shilingi elfu kumi ni kama amekupa laki moja, miaka ambayo

NAKUPENDA  Sehemu ya : 1  By Miss Hamida Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa shilingi elfu kumi ni kama amekupa laki moja, miaka ambayo

BADO NAKUPENDA ???????? Sehemu ya : 1 By Miss Hamida ???????????????????????????????????????????????????????????????????????? Simulizi yetu inakwenda kuanzia Miaka ya nyuma kabisa kabla ya kila mtu hajaanza kumiliki simu, ambapo mtu akikupa shilingi elfu kumi ni kama amekupa laki moja, miaka ambayo hakukua na njia yoyote nzuri ya mawasiliano zaidi ya barua????. Lakini mbali ya vyote ivo bado watu hawakuacha kupendana. Tena wakati huo mapenzi yalinoga sana kuliko hata sasa, likiwemo penzi la Magreth na Simon??. Watu hawa wawili walijua namna ya kuitendea mioyo yao haki. Hawakukubali kuona tofauti zao za kiuchumi zikikikatisha ndoto yao ya kua pamoja. Magreth yeye alitokea kwenye familia

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...