
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER Whatsap………....0613083801 ……………………….0748697173 Umri………………..18+ Kwa jina naitwa Fatuma karibu katika mkasa huu ili upate kujua yaliyonipata baada ya mimi kukutana na shemeji yangu aliyekuwa amemuoa dada yangu wa kumfata tuliyezaliwa nae tumbo moja. Chondechondechondee..... story hii ni kwa wakubwa tu wale walio juu ya umri wa miaka 18 na kuendelea, na kwa wale walio na umri wa chini ya miaka 18 naomba mtupishe kidogo. Ilikuwa ni mida ya asubuhi niliyokuwa nimelala kitandani, nilisikia sauti ya mama kwa mbali ikiniamsha lakini mimi sikutaka kuamka. Mama baada ya kuona sitaki kuamka aliamua kuingia kwenye chumba changu na
No comments:
Post a Comment