
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+ Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi….. ENDELEA....... Tulifika alipokuwa Afande wa kike. Alitutazama kuanzia chini mpaka juu akitupandisha na kutushusha na baadae aliongea. "Ivi mlipoenda kutiwa huko mlimruhusu awamwagie ndani!?" Afande huyo wa kike alituuliza swali la kijinga. Mimi na Asha tulitazamana huku tukiwa na aibu balaa!. "Nawauliza!" "Alimwaga nje Afande!" Asha alimjibu kwa sauti ya chini. "Sasa ole wenu mje mpate mimba mtajuta nawaambia" Afande aliongea kwa kututisha na baadae alituambia tuendelee na kazi zetu. Mimi na Asha tulisogea walipokuwa wafungwa wenzetu wawili
No comments:
Post a Comment