MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya tatu

MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya tatu

????MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya tatu ???? Alafu robyson anaenda kufungua mlango ajui mimi naogopa nini, Dah yani....???? Wakati anafungua mlango uku mimi sms inaingia ya mume wangu inasema, ( Mke wangu nipo bagamoyo ila naenda tanga saizi yani kazi juu ya kazi nitakutumia pesa kesho mchana ilove mke wangu) " Mimi moyoni nikawa na amani mume wangu katoka eneo hili nikamjibu, Ilove 2 mume wangu. " Mara robyson anaongea na muhudumu. " Kaka simu ya mezani imeharibika kama utataka huduma ya chakura utatumia namba hii samahani kwa usumbufu. " Sawa nimekuelewa. " Robyson akarudi akanishika mashavu yangu ya

Soma zaidi

No comments:

Post a Comment

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7 Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa ho...