
DOLLAR: ( DAKTARI WA HUBA ) Sehemu ya Kwanza Mtunzi: Layman Donsue Kwenye Chuo Kikuu cha Uchokozi na Mizinguo, tulikuwa na wanafunzi wa aina zote wenye akili kama ya Einstein na wengine waliokuja chuoni kwa mikwala ya wazazi, si kwa mapenzi ya elimu. Lakini kati ya hao wote, alikuwepo binti mmoja aliyeweza kuyachanganya maisha ya watu chuoni humo kwa urembo wake, ucheshi wake, na kile alichokiita "daktari wa huba" aliitwa Dollar. Dollar halikuwa jina lake halisi. Jina lake halisi lilikuwa Scolastica Kalunde, lakini nani angetamka hilo? Alipoingia chuoni mwaka wa kwanza, aliamua kujibatiza jina la “Dollar” kwa sababu aliamini anathamani
No comments:
Post a Comment